Ratiba ya robo final ya UEFA champions league hii hapa Juventus vs Real Madrid Liverpool vs Manchester city nani ata pita Hata inayo fuata? Au kuingia nusu final
Kikosi cha timu ya taifa Taifa star's kiki ongozwa na Mbwana SamattA Time ya taifa Taifa Star's inatarajia kuwa na michezo miwili ha kirafiki ndani ya mwezi march michezo hiyo inatarajiwz kucheza viwanja viwili tofauti ukiwepo uwanja wa taifa. Stars ina tarajia kuvaana na timu ya taifa ya Algeria mnamo tarehe 22 March mama huu mchezo utakao fanyika nchin Algeria baada yakumaliza mtanange huo star's wata rudi nyumbani kumalizia mchezo wa pili dhid ya DR Congo mnamo tarehe 27 March mwaka huu. Ikumbukwe kuwa michezo hii ita chezwa muda wa karenda ya FIFA swali ni je hiki ni kipimo tosha Kwa Taifa star's?. <<<endelea kuwa Kalibu na ezesports Kwa habari za michezo na burudani>>>
Michuano ya UEFA champions league kuendelea sikumbili ndani ya juma hili michezo hiyo ita wakutanisha As Roma vs Barcelona ilihali Manchester city wakimkaribisha Liverpool ambapo mchezo ulopita Liverpool waliibuka washind baada ya kumfunga goli 3-0. Michezo mingne ni Real Madrid ata mkaribisha Juventus na Bayern Munich aki mkaribisha Sevila matokeo ya Sevila na Bayern Munich wali toka 1-2 na Juventus na Real Madrid 0-3
Comments
Post a Comment