Ratiba ya robo final ya UEFA champions league hii hapa Juventus vs Real Madrid Liverpool vs Manchester city nani ata pita Hata inayo fuata? Au kuingia nusu final
Michuano ya UEFA champions league kuendelea sikumbili ndani ya juma hili michezo hiyo ita wakutanisha As Roma vs Barcelona ilihali Manchester city wakimkaribisha Liverpool ambapo mchezo ulopita Liverpool waliibuka washind baada ya kumfunga goli 3-0. Michezo mingne ni Real Madrid ata mkaribisha Juventus na Bayern Munich aki mkaribisha Sevila matokeo ya Sevila na Bayern Munich wali toka 1-2 na Juventus na Real Madrid 0-3
Lipuli fc ina mkaribisha Azam fc katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara mzunguko wa 19 katika uwanja wa Samora ambao Lipuli fc ana tumia kama uwanja wa nyumbani mchezo huo utakua majira ya saa 10:00 jion. Lipuli anakutana na Azam Leo uku Lipuli akiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wa mzunguko wa kwanza Kwa bao 1-0 pale Chamanz complex na kumfanya Azam kuibuka na alama tatu mhimu. Michezo mitatu ya mwisho Lipuli ameonakana kufanya vizuri zaid ya Azam fc uku Lipuli akipoteza michezo miwili na kushinda mmoja lakin upande wa Azam fc yeye amepoteza michezo miwili na kusare moja dhidi ya Kagera sugar na alio poteza ni dhid ya Simba sc na Yanga sc uku Lipuli akipoteza mbele ya Yanga sc na Ruvu shooting nakushinda dhidi ya Stand united. <<<endelea Kua Kalibu na ezesports kwahabari za michezo na burudani>>>>
Comments
Post a Comment