Star's kuvaana na wa Algeria na DR Congo

Kikosi cha timu ya taifa Taifa star's kiki ongozwa na Mbwana SamattA

Time ya taifa Taifa Star's inatarajia kuwa na michezo miwili ha kirafiki ndani ya mwezi march michezo hiyo inatarajiwz kucheza viwanja viwili tofauti ukiwepo uwanja wa taifa.

Stars ina tarajia kuvaana na timu ya taifa ya Algeria mnamo tarehe 22 March mama huu mchezo utakao fanyika nchin Algeria baada yakumaliza mtanange huo star's wata rudi nyumbani kumalizia mchezo wa pili dhid ya DR Congo mnamo tarehe 27 March mwaka huu.

Ikumbukwe kuwa michezo hii ita chezwa muda wa karenda ya FIFA swali ni je hiki ni kipimo tosha Kwa Taifa star's?.
<<<endelea kuwa Kalibu na ezesports Kwa habari za michezo na burudani>>>

Comments

Popular posts from this blog

Mchezo mmoja Leo wa ligi kuu Tanzania bara kupigwa mkoani Iringa Lipuli vs Azam fc